Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, June 19, 2012

KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR LEO


Mwakilishi wa Kuteuliwa na Rais Marina Joel Thomas akila kiapo mbele ya Spika wa Baraza hilo Pandu Amer Kificho huko katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
 
Mwakilishi wa Kuteuliwa na Rais Marina Joel Thomas wakatikati akiwa katika picha ya pamoja na Familia yake nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi baada ya kuapishwa na Spika wa Baraza hilo Pandu Ameir Kificho.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...