Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 10, 2012

PINDA AFUNGUA KIWANDA CHA NYUKI KIBAHA NA AMTEMBELEA MBUNGE ROMBO MOI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini Juni 9,2012 ambaye amehamishiwa katika hospitali ya tiba ya mifupa ya MOI katika hospitali ya Tafa ya Muhimbili akitokea hospitali ya KCMC Moshi kwa matibabu zaidi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua kiwanda cha kusindika asali cha Organic Honey katika kijiji cha Visiga mkoani Pwani kinachomilikiwa na kampuni ya Boleyn International, Juni 9, 2012.Kushoto ni mkuu wa mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza na anyepiga makofi katikati ni Mkrurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Jack Liu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua mitambo baada ya kufunguza kiwanda cha kusindika asali cha  Organic Honey katika kijiji cha Visiga  mkoani Pwani  kinachomilikiwa na Kampuni ya  Boleyn  International, Juni 9, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...