Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 1, 2012

Rais Dk. Shein akutana na Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais,Mikoa


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Rais na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mikoa ikiwa ni utaratibu wake wa
kuzungumza na kila wizara katika utekelezaji wa kazi katika Mikoa.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Rais na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mikoa ikiwa ni utaratibu wake wa
kuzungumza na kila wizara katika utekelezaji wa kazi katika
Mikoa,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif
Sharif Hamadi.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...