Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, June 7, 2012

TIKA itaboresha huduma Ilala- Meya wa Ilala Jerry Slaa





 Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Slaa akufungua semina ya Mpango wa bima ya Afya unaojulikana kama TIKA uliobuniwa na Mfuko wa Bima wa Afya (NHIF) inayotolewa kwa madiwani wa Manispaa hiyo inayofanyika kwenye ukumbi wa Arnautoglo Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam asubuhi hii, kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa NHIF Bw Khamis Mdee na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Ellias Mwasabwite.
Naibu Mkurugenzi wa NHIF Bw Khamis Mdeeakizungumza katika semina hiyo kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Ellioth Mwasabwite na katikati ni Meya wa Ilala Mh. Jerry Slaa.
 Wakurugenzi na maafisa kutoka Mfuko wa Bima wa Afya wakiwa katika semina hiyo leo.
 Madwani wanaoshiriki katika semina hiyo wakifuatilia kwa makini mada katika semina hiyo.
 Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Slaa kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa NHIF Bw. Khamis Mdee na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Ellias Mwasabwite.
 Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Slaa kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa NHIF Bw. Khamis Mdee na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Ellias Mwasabwite.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...