Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 15, 2012

TUZO ZA TASWA ZILIVYOFANA USIKU WA KUAMKIA LEO KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE



Rais wa TFF, Leodegar Tenga wa pili kulia akiwa na Jellah Mtagwa kushoto kwake

Familia ya ndondi


Wadau wa ndondi

Tedi Mapunda kulia na bosi wake

Eiphraim Mafuru kulia

Maswahiba wa siku nyingi, Shaaban Mkongwe kulia akiwa Waziri Mahadhi

Beki wa Mtibwa Salum Swedi 'Kussi'

Kaburu kulia akikabidhi tuzo

Daud Salum 'Bruce Lee' kulia akikabidhi tuzo

Athumani Hamisi akikabidhi tuzo

Asha Baraka akikabidhi tuzo

Mafuru akikabidhi tuzo

Ridhiwani Kikwete kulia akiwa na Benny Kisaka kushoto, cheko la maana

Dioniz Malinzi kushoto akikabidhi tuzo

Kapombe akipokea tuzo ya Mwanamichezo Bora Chipukizi kutoka kwa Salim Amir

Mzee Matumla akimkabidhi Kaburu tuzo ya Emmanuel Okwi

Mwenyekiti wa RT, akimkabidhi tuzo Mwanahamisi Gaucho

Aggrey Morris kushoto akipokea tuzo ya Mwanasoka Bora wa mwaka

Ally Choky akikabidhi tuzo

Mafuru akipakia msosi

Kim Poulsen kulia akiwa na nani sijui

Jamal Rwambow kulia na Kaburu wakati wa maakuli

Serengeti Beer inapokolea, mambo huwa hivi...

Mzee El Maamry akimkabidhi tuzo George Tarimo

Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Adolph Rishard

Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Peter Tino
Mzee Mwinyi akikabidhi tuzo

Kaburu akimsaidia Kapombe kupokea tuzo ya Mwanamichezo Bora wa mwaka 2011

Juma Pinto akikabidhi tuzo

Zena Chande na swahiba zake
Shaffih Dauda kulia, Amour Hassan na Michael Maluwe


Tullo Chambo na bosi wake

BIN ZUBEIRY kulia na Shaffih Dauda
PICHA: BIN ZUBEIRY BLOG

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...