Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 17, 2012

USAILI WA BONGO STAR SEARCH MJINI DODOMA


Majaji wakifanya majadilianokalbla ya kuanza kwa usaili huo uliofanyika mjini Dodoma jana kutoka kulia ni jaji Salama Jabir, Mkurugenzi wa Benchmark Production na Master J.
Washiriki wa uasili huo wakiwa katika mstari wakisubiri wakisubiri taratibu zikamilike ili waanze kufanya uasaili
Mawakala wa kampuni ya simu za mkononi ya Zantel wakiwapa huduma wateja wo kuhusu huduma ya kifedha ya Ezy Pesa katika ukumbi wa  Royal Village mjini Dodoma
Mshiriki Fabian Peter Kikoko akitoa burudani wakati washiriki wakisubiri kuingia kwa majaji ili kuanza usaili.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...