Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, June 16, 2012

WAREMBO MISS DAR INTER COLLEGE WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA


Warembo wanaotarajiwa kushiriki shindano la MIss Dar Intercollege 2012 wakiangalia banda la wanyama katika makumbusho ya Taifa KILWA, .Ziara hiyo ni sehemu ya mafunzo yao kabla ya shindano hilo litakalofanyika JUNI 22 katika ukumbi huo.
Warembo wanaotarajiwa kushiriki shindano la MIss Dar Intercollege 2012 wakiangalia magari aliyowahi kutumia  baba wa Taifa Hayati Julius K.Nyerere tangu zamani mpaka kufariki kwake ambapo magari hayo yapo katika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.Ziara hiyo ni sehemu ya mafunzo yao kabla ya shindano hilo litakalofanyika JUNI 22 katika ukumbi huo.

Warembo wanaotarajiwa kushiriki shindano la MIss Dar Intercollege 2012 wakiangalia simba ambaye alionekana miaka ya nyuma .Ziara hiyo ni sehemu ya mafunzo yao kabla ya shindano hilo litakalofanyika JUNI 22 katika ukumbi huo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...