Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, June 11, 2012

Web ya Ngoma Africa band aka FFU hewani tena



Tuvoti ya bendi maarufu ya dansi barani ulaya Ngoma Africa band hipo hewani tena baada yakufanyiwa marekebisho fulani ya kiufundi kwa masaa machache jana 10 Mai 2012 ,
Kambi hiyo ya FFU at www.ngoma-africa.com inaendelea kumwaga burudani kamiliya muziki kama kawaida masaa 24 kwa siku 7 za wiki.
wadau wote mnaombwa kuendelea kupata raha ya muziki bila kwikwi  

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...