Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, July 30, 2012

MATUKIO MBALIMBALI YA PICHA BUNGENI JULAI 30,2012 DODOMA


Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya  Mbwanga mkoani  Dodoma wakisubiri kuingia katika ukumbi  wa Bunge, 30, Julai 2012. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)
Baadhi ya  wadau  wa masuala ya Ayfa wakielekea  ndani ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Julai 30.2012 kusikiliza  Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa mwaka wa fedha 2012-2013 iliyowakilishwa na Waziri waa Ustawi wa Jamii Dkt,  Hussein Mwinyi, ((Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Hussein Mwinyi (kushoto) pamoja na Naibu wake Dkt, Seif Rashid(kulia) wakipitia  hotuba yao ya Makadirio  ya Mapato na Matumiz i ya Wizara yao kwa mwaka 2012-2013 iliyowasilishwa leo  Bungeni Dodoma . Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.
Mwenyekiti  wa  Kamati ya Hesabu za Serikali  za Mitaa Dkt, Augustine Mrema (kushoto)   pamoja na  Mkurugenzi  Mtendaji  wa Taasisi  ya  Utawala Bora(SEGODETA) Thomas Ngawaiya wakiwa katika viwanja vya Bunge Dodoma  Jualai 30,2012. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...