Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, July 30, 2012

Rais wa Zanzibar awasili Pemba leo


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali
mbali,wa Chama na Serikali, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa
Karume Pemba leo akiwa katika  ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na
Kaskazini.[Picha na Ramadhan Othman,ORZ.]
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema
Shein,wakisalimiana na Viongozi mbali mbali,wa Chama na Serikali,
alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba leo akiwa katika
ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na Kaskazini.[Picha na Ramadhan
Othman,ORZ.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi  wakuu wa
Vikosi vya Ulinzi Pemba, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume
Pemba leo akiwa katika  ziara maalum ya mikoa ya Kusini na
Kaskazini.[Picha na Ramadhan Othman,ORZ.]

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...