Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, August 31, 2012

MBUYU TWITE ALIPOFANYA MAZOEZI YA KWANZA AKIWA NA YANGA DAR


Picha tofauti zikimuonesha beki mpya wa Mabingwa wa Soka wa Kombe la Kagame, Yanga, Mbuyu Twite akijifua na wenzake katika mazoezi ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola jijini Dar es Salaam leo.
 Twite akipokea maelekezo kutoka kwa kocha wa Yanga Tom Saintfiet

 Twite akipiga 'push-up' katika mazoezi yake ya kwanza akiwa na Yanga jijini Dar es Salaam yaliyofanyika leo kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Mabibo Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...