Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, September 19, 2012

MSHINDI WA TIGO BEATS AKABIDHIWA KITITA CHAKE.


Mkazi wa Kijiji cha Kigugu, Kata ya Sungaji, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro, Hamis Athuman Pita (19), ( kushoto ) akipokea hundi ya mfano yenye thamani ya Tsh.10Millioni, kwa Msimamizi wa Kampuni ya Tigo Kituo cha Morogoro Neema Mashingia, anayehudumia pia na Mikoa ya Dodoma, Iringa,
Mbeya na Ruvuma baada ya kijana huyo kushinda shindano la promosheni ya Tigo Beats, iliyoendeshwa na Kampuni hiyo kuanzia Mei 21 hadi Julai 19 mwaka huu, ( kati kati) ni Mfanyakazi wa Tigo Morogoro,Vissa Majitaka.
 Hamisi athumani akiwa na mfano wa chekiyake mara baada ya kukabidhiwa.
Msimamizi wa Tigo Morogoro Neema Mashingia akizungumza mara baada ya kumkabidhi Mshindi huyo hundiyake.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...