Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, September 21, 2012

Mwili wa Wema Sepetu balaa......



Maumbile ya nyuma ya Wema Sepetu hadharani...cheki michiriki.......

Kwani Siku hizi imekuwa fasheni kuonyesha mikalio yenu nyinyi wasanii? hamuona mnajidhalilisha? wapenzi wenu wamekuwa wakichekelea wakiona mambo haya kwa steji lakini kaeni mtambue kuwa nyuma ya picha wanawasema vibaya na itafika muda watawachoka, mkipita mnazomewa.

Wema Sepetu mwaka jana ukiwa kwenye fiesta mjini Morogoro na x-boy wako Diamond ulipanda jukwaani pasipokuangalia nguo yako uliyovaa na kumsaidia chorus x-boy wako ulionyesha maumbile yako yote ya nyuma, kwa kweli wapenzi wako wengi walisikitika, walidhani labda ulipitiwa, lakini mwaka huu tena ona tako linavyoonekana, unajisikiaje...fresh.....ama....nilidhani ungeacha, hii michirizi mekundu ni nini...? cna jibu.
Mdudu wa kukaa nusu uchi umemwambukiza na 'shosti wako Ant Ezekiel ona sasa....kajiachia na wengi wanajiuliza inakuwaje kule nyuma kumelowa.....kama ni pombe jamani ziacheni au ndio mnaogopa kuonekana washamba? bora muwe washamba ndugu zangu. Tutafika kweli...?

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...