Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, September 30, 2012

SIMBA MWENDO MDUNDO, YAICHAPA PRISONS 2-1


 Mshambuliaji wa Simba, Felix Sunzu akiwatoka mabeki wa Tanzania Prisons
 Wachezaji wa Simba wakishangilia bao la kwanza lililofungwa na Felix Sunzu (kulia)
 Mashabiki wa Simba wakishangilia
 Mshambuliaji wa Simba, mrisho Ngasa akichuana na nahodha wa Tanzania Prisons, Lugano Mwangama
 Golikipa wa Prisons, David Abdallah akiokoa hatari langoni mwake
Wachezahi wa Prisons ya Mbeya wakiongozwa na kipa wao kuomba dua wakati wa mapumziko

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...