Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, November 29, 2012

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI CHARLES TIZEBA ATEMBELEA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE.


Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba akipata malezo kutoka kwa Afisa wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga(TCAA), Bw. Elieza Mwalutende, wakati Naibu Waziri huyo alipotemmbelea Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl . Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa katika kiwanja hicho.

Hayo ni Majenereta yanayotumika endapo Umeme wa TANESCO unapokatika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijjini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...