Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, November 28, 2012

SHARO MILIONEA AZIKWA LEO MCHANA MUHEZA NA MAMIA

Rafiki mkubwa wa marehemu Sharo Milionea,Mzee Majuto akiwa ameshikwa mkono na Msanii wa filamu JB wakielekea kwenye mazishi mapema mchana wa leo, Muheza mkoani Tanga.


 
 
 Mwili wa Marehemu Sharo Milionea ukiswaliwa mapema mchana huu kabla ya kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele.
 
 
 Rafiki mkubwa wa marehemu Sharo Milionea,Mzee Majuto akiwa ameshikwa mkono na Msanii wa filamu JB wakielekea kwenye mazishi mapema mchana wa leo, Muheza mkoani Tanga. Hii ndio nyumba ya milele alimolazwa leo Hussei Sharo Millionea kwao mkoani Tanga

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...