Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 26, 2012

STUDENT’S SPECIAL BASH YATIKISHA DAR LIVE KWA WASANII WA NGUVU


Fid Q na Stamina wakifanya makamuzi ya hatari jukwaani.
Dullayo akiwapelekesha puta mashabiki.
Rich Mavoko akionyesha cheche zake jukwaani.
Kala Jeremiah akiwapagawisha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.
Stamina akiwatuliza mzuka mashabiki.
P Square wa Bongo (waliovaa ‘jeans’ na miwani) na madansa wao, wakilishambulia jukwaa.
Tano Bora wa shindano la The Mic King wakiwa katika picha ya pamoja.
Wanenguaji wa ‘Twanga’ wakionyesha ‘matindo’ wakiwa chini.
Fid Q ‘Ngosha’ akikamua mbele ya mashabiki wake.
Dullayo akifanya vitu vyake.
Kala Jeremiah akitoa burudani ya aina yake stejini.
Mashabiki wakimshangilia Kala (hayupo pichani).

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...