Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, November 29, 2012

WAANDISHI WA HABARI WAPATIWA MAFUNZO YA JUU YA SHERIA YA HAKI YA KUPATA HABARI.


Waandishi wa habari na wawakilishi wa asasi za kiraia kutoka maeneo mbalimbali wakishiriki mafunzo kuhusiana sheria ya haki ya kupata habari pamoja na sheria ya huduma ya vyombo vya habari ili kuchangia uwepo wa vipengele vipya katika katiba mpya ambayo mchakatowake unaendelea.
Waandishi wa habari na wawakilishi wa asasi za kiraia kutoka maeneo mbalimbali wakishiriki mafunzo kuhusiana sheria ya haki ya kupata habari pamoja na sheria ya huduma ya vyombo vya habari ili kuchangia uwepo wa vipengele vipya katika katiba mpya ambayo mchakatowake unaendelea.

Baadhi ya wanasemina hao wakifuatilia kwa makini mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...