Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, December 31, 2012

JK KUTOA SALAMU ZA MWAKA MPYA


                                                                     Rais Jakaya Kikwete

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
              press@ikulu.go.tz             

Fax: 255-22-2113425

Coat of Arms
PRESIDENT’S OFFICE,
      THE STATE HOUSE,
              P.O. BOX 9120,  
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, jioni ya leo, Jumatatu, Desemba 31, 2012, atatoa salamu maalum za Mwaka Mpya kwa wananchi.
Rais Kikwete atatoa salamu hizo kupitia hotuba yake kwa Taifa ambayo ataitoa kwa njia ya redio na televisheni.
Katika salamu hizo, Rais Kikwete anatarajia kuzungumzia masuala mbali mbali kuhusu matukio makubwa ya mwaka huu na mengine muhimu yaliyojitokeza katika jamii ya Tanzania katika miezi 12 iliyopita.
Mwisho.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
31 Desemba, 2012

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...