Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, December 24, 2012

MABONDIA WA ‘NDONGA ZA MWAKA’ WAPIMA UZITO KWA MPAMBANO WA KESHO


Mabondia wote wakiwa katika picha ya pamoja.
MABONDIA watakaotwangana kesho ndani ya ukumbi wa Dar Live ulioko Mbagala wamepima uzito leo asubuhi katika ukumbi wa Hoteli ya Atriums, iliyoko Afrika Sana, Sinza, Dar es Salaam.
Mabondia hao ni Mada Maugo wa Tanzania, Iga Juma wa Uganda, Mbwana Matumla wa Tanzania na David Charanga kutoka Kenya, Wengine ni Chupaki Chipinda, atakayezipiga dhidi ya Bahati Mwafyele na mabondia wa kike Esther Kimbe na mpinzani wake Irene Kimaro.
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY/GPL)

Mada Maugo akiwa na mpinzani wake toka Uganda, Iga Jumaa.
Mada Maugo akipimwa uzito.
Mbwana Matumla naye akifanya zoezi hilohilo.
Esther Kimbe akipima uzito.
Irene naye akiwa kwenye mashine ya kupimia uzito.
David Charanga akiwa juu ya mashine ya kupimia uzito.
Iga Juma akipima uzito.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...