Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, December 26, 2012

SKYLIGHT BAND YANUKISHA MKESHA WA X-MASS KATIKA UKUMBI WA THAI VILLAGE JIJINI DAR


Warembo wenye asili ya Asia wakitoa burudani wakati wa mkesha wa X-MASS na SKYLIGHT BAND katika kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. Mmoja wa warembo hao anatoa huduma ya kuuza vinywaji katika ukumbi huo nae akaona aonyesha kipaji chake kwa mashabiki wa Bendi hiyo na kweli anaweza.
Shine Bright like Diamond...Beautiful like a Diamond in the Sky.........Mmoja wa Shabiki wa SKYLIGHT Band mwenye asili ya Asia akipiga Kolabo na Aneth Kushaba AK47 kwenye mkesha wa X-MASS usiku wa kuamkia leo katika kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam.
Aneth Kushaba AK47 akiongoza safu ya vijana wa SKYLIGHT BAND Joniko Flower na Sony Masamba (kulia) kushambilia jukwaa wakati wa mkesha wa X-MASS Thai village jijini Dar.
Ghafla Jukwaa lilivamiwa na msanii wa Bongo Flava Beka aliyepanda Jukwaani kusindikiza usiku wa mkesha wa X-MASS sambamba na Sam Machozi a.k.a Sam Mapenzi (kulia).
Baadhi ya Mashabiki wa SKYLIGHT BAND wakionekana kulipuka kwa burudani ya msanii Beka akisindikizwa na Sam Machozi. Kwa mbali anaonekana Super star Sinta a.k.a JLO wa Bongo (mwenye Sketi ya pundamilia) akisakata rhumba.
SKYLIGHT BAND wakiwajibika jukwaani.
Baadhi ya mashabiki wa SKYLIGHT BAND wakijinafasi kwa raha zao kwenye dancing floor.
Twende kazi....hapo chacha.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...