Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, December 27, 2012

TIGO YATANGAZA OFA KUPIGA SIMU NNJE YA NCHI.


Meneja wa Bidhaa wa Kampuni ya simu za mikononi ya Tigo Bulla Bona, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu ofa ya msimu wa sikukuu ya hudumuma ya Xtrime Pack itakayowawezesha wateja kupiga simu kwa gharama nafuu zaidi kwenye nchi 6, UK, USA, Canada, India, Hong Kong or China, dakika 5 kwaTsh 150.
Waandishi wa habari wakiwa kazini kuchukua picha wakati wa kutangaza ofa hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Meneja wa Bidhaa wa Kampuni ya simu za mikononi ya Tigo Bulla Bona, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu ofa hiyo, kulia ni Tulli Mwaikenda kutoka Tigo.
Kila kitu ni muhimu kwa picha.                

WITH the festive season now in fiull swing, Tigo is giving its consumers an unprecedented promotion with Tigo Xtreme pack. The opportunity is now here, to call friends, loved ones and business associates in the UK, USA , Canada, India, Hong Kong and China with additional 5 minutes at 150 Tsh only.
‘’ We are always thinking of our consumer’s needs throughout the year and understand the need and desire to speak to loved ones and friends across the globe as the year draws to a close. With this in mind Tigo has slashed the cost of calling abroad, with the introduction of this package, which will provide huge savings” said Jacqueline Nnunduma Tigo Marketing officer.
 To connect to the Tigo international Xtreme package, customers simple send the word ‘Nje’ or ‘International’ to 15509 and they will then be able to call the UK, USA, Canada, India, Hong Kong or China for 5 minutess for Tsh 150. 
And must subscribe to XTREME pack by sending Key word XTREME to 15509 for Tsh 450
The package validity will be 24 hours. This promotion is a welcome addition to the current ‘Xtreme’ pack , giving subscribers the vest value for their money.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...