Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, May 29, 2013

Odama aisambaza ‘Whitch Doctor’


Na Elizabeth John


MWANADADA ambaye anafanya vizuri katika tasnia ya filamu nchini, Odama amesambaza filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Whitch Doctor’.
Akizungumza Dar es Salaam, nyota huyo alisema filamu hiyo ameisambaza hivi karibuni anaomba wadau wa kazio zake wakae mkao wa kula kwaajili ya kupokea vitu vizuri kutoka kwake.
“Namshuku mungu asilimia kubwa ya kazi zangu zinapokelewa vizuri na mashabiki wangu hivyo ninaimani hata kazi hii itapokelewa vizuri kutokana na ubora uliopo ndani yake,” alisema Odama.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...