Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, May 27, 2013

USAHIRI WA SHINDANO LA BIBI BOMBA WAFANYIKA KWENYE VIWANJA VYA LEADERS CLUB, TAMASHA LA NYIMBO ZA MAKABILA LINAENDELEA


Mshiriki wa shindano la Bibi Bomba, Bi. Veronica Kayombo (katikati) akionesha umahiri wa kuimba nyimbo wakati wa mchujo wa kuwatafuta washiriki 10 watakaoingia katika nyumba kwa ajili ya shindano hilo lililoandaliwa na Clouds Tv na kudhaminiwa na Airtel. Kushoto ni Anna Nicolous na Rozalia Marko
 Majaji wa Shindano la 'Bibi Bomba' kutoka (kushoto) Zamaradi Mketema, Babuu wa Kitaa, Regina Mwalekwa na Benny Kinyaiya, wakifuatilia washiriki wakati wakijieleza kuhusu ufahamu wa shindano hilo, lililoanza leo katika Viwanja vya Leaders Club Kinondoni, wakati wa Tamasha la Nyimbo za Makabila 'Tamadunika' linaloendelea hivi sasa viwanjani hapa.
 Mmoja kati wa washiriki 32, akijieleza wakati wa mahojiano rasmi viwanjani hapo....
  Mmoja kati wa washiriki 32, akijieleza wakati wa mahojiano rasmi viwanjani hapo....
 Baadhi ya wanacrew wasimamizi wa shoo hiyo, wakiwa eneo la tukio.....
 Babu wa Kitaa, (kushoto) akiburudika kwa miondoko ya sebene na mmoja wa washiriki wa shindano hilo.
 Sehemu ya washiriki waliojitokeza kushiriki shidano hilo...
 Mshiriki akijieleza......
 Watazamaji wakifuatilia shindano hilo......
Waongozaji wa Tamasha hilo, wasema lolote, Mbwiga Mbwiguke na Suzzy Bartazar, wakijiandaa kusherehesha Tamasha hilo la Nyimbo za Makabila.
 Benny Kinyaiya, akitoa maelezo mafupi kwa washiriki wa shindano la Bibi Bomba.......
 Gea Habib, akifafanua jambo kwa washiriki wa shindano hilo....
 Sehemu ya watazamaji......
Sehemu ya watazamaji waliojitokeza kushuhudia Tamasha hilo.....
Picha na www.sufianimafoto.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...