Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, May 27, 2013

WASANII WAKABIDHI PICHA YA KUCHORA YA RAIS JAKAYA KIKWETE


 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam akipokea picha ya Rais Jakaya Kikwete iliyochorwa na wasanii wa Kikundi cha Manuari Dar es Salaam kwenye tamasha na mastaa chipukizi lililofanyika juzi Dar es Salaam
Msanii Salum Hamisi wa Kikundi cha Safi Culture Group akicheza kusimama na mkono mmoja katika tamasha la wasanii chipukizi jana Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...