Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, September 23, 2013

KAMPENI YA KUHAMASISHA ULAJI WA VYAKULA VYENYE VIRUTUBISHO



Vijana wanaohamasishaji  wa  utumiaji wa vyakula vilivyoongezwa virutubishi wakito elimu hiyo katika mitaa ya Tandika Sokoni  jijini Dar es Salaam, Kampeni hiyo ya uhamasishaji juu ya kuongeza virutubishi kwenye unga wa ngano,unga wa mahindi na mafuta ya kula unazihusisha Wilaya za Kinondoni ,Ilala na Temeke ambapo mlaji anatakiwa kuhakikisha ananunua vyakula  vyenye nembo ya Virutubishi. Kampeni hiyo  inaongozwa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Taasisi ya Chakula na Dawa Tanzaniaz.(TFDA) 

Akina mama wanaojihusisha na upembuaji wa maharage katika soko la vyakula la Tandika jijini Dar es Salaam,wakimsikiliza kwa makini Adamu Juma   ( kulia) wakati alipokuwa akiwapa elimu ya utumiaji  wa vyakula vilivyoongezwa Virutubishi  .
Vijana wanaohamasishaji  wa  utumiaji wa vyakula vilivyoongezwa virutubishi wakito elimu hiyo katika mitaa ya Tandika Sokoni  jijini Dar es Salaam, Kampeni hiyo ya uhamasishaji juu ya kuongeza virutubishi kwenye unga wa ngano,unga wa mahindi na mafuta ya kula unazihusisha Wilaya za Kinondoni ,Ilala na Temeke ambapo mlaji anatakiwa kuhakikisha ananunua vyakula  vyenye nembo ya Virutubishi. Kampeni hiyo  inaongozwa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Taasisi ya Chakula na Dawa Tanzaniaz.(TFDA) 
Hadi madereva wa boda boda nao walipata elimu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...