Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, November 19, 2013

BEATRICE MROKI APATA KIPAIMARA KANISA LA KKKT UKONGA


Novemba 17, 2013 ilikuwa siku ya furaha sana kwa Beatrice Mroki (kushoto) kwa kupata sakrementi yake ya Kipaimara baada ya kuhitimu mafunzo ya miaka miwili katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Ukonga jijini Dar es Salaam. Pichani ni Beatrice akigonganisha glasi na msimamizi wake Neema Steven wakati wa tafrija maalum ya kumpongeza iliyofanyika katika ukumbi wa Samunge Ukonga Mazizini.
 Hapa ilikuwa Kanisani wakisubiri kupokea Kipaimara katika KKKT Ukonga
 Baada ya Kipaimara baba na mama yake Beatrice wakilamba picha na Binti yao.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...