Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, April 16, 2014

WENGI WAJITOKEZA KATIKA MAZIKO YA GULUMO

Waumini wa dini ya kislam wakiswalia jeneza lenye mwili wa marehemu Muhidini Maalimu Gulumo
mjane wa marehemu

mjane wa marehemu
msanii ally choki akihojiwa na dacoa hamisi wa tbc

waumini wa dini ya kislam wakiiombea duwa ya mwisho baada ya kuswalia mwili wa marehemu maalimu gulumo
baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa gulumo
Jeneza lenye mwili wa marehemu gulumo likipelekwa katika gari kwa ajili ya mazoko yaliyofanyika masaki kisarawe

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...