Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, August 7, 2014

Wakulima Dodoma wasifu Ufanisi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)


Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya.
Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma. Kushoto ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya na Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia).
Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa wa TPA na Wageni wengine wakati alipotembelea Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma.
Afisa Mawasiliano wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari TPA Focus Mauki (kulia) akiwaelezea kuhusu huduma zinazotolwa na TPA, baadhi ya wakazi wa mkoa wa Dodoma waliotembelea banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari TPA lilopo kwenye maonesho ya NaneNane ya Kanda ya Kati yanayoendela katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma.
Baadhi ya wanafunzi waliotembelea banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari TPA wakimsikiliza kwa makini Afisa Mawasiliano wa Mamlaka hiyo Focus Mauki,wakati walipotembelea banda hilo lwa ajili ya kujifunza shughuli mbalimbali za bandari katika Maonesho ya Nanenane Kanda ya kati yanayoendelea kwenye viwanja vya vya Nzuguni mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...