Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, November 1, 2014

BONDIA THOMAS MASHALI KUPAMBANA NA HENRY WANDELA FRENDS CORNER MANZESE NOVEMBA MOSI


Bondia Thomas Mashali kushoto ankinyooshwa mkono juu na Yassin Abdallah katikati na mpinzani wake Henry Wandela kutoka Kenya baada ya upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wao picha na SUPER D BLOG

MABONDIA MBALIMBALI WATAKAOCHEZA KESHO WAKITUNISHA MISULI
BONDIA SHABANI KAONEKA AKITUNISHA MSULI BAADA YA KUPIMA UZITO
Bondia Ramadhani Alfani kushoto akitambiana na Shabani Kaoneka baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa novemba mosi picha na SUPER D BLOG
Bondia Ramadhani Alfani kushoto akitambiana na Shabani Kaoneka baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa novemba mosi picha na SUPER D BLOG
mabondia baada ya kupima

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...