Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, July 29, 2015

SUPER D AHAMASISHA UWANDIKISHAJI WA VITAMBULISHO VYA KUPIGIA KURA


 
 
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiweka alama za vidole wakati wa uhandikishwaji wa vitambulisho vya kupigia kura iliyokuwa ikifanyika katika kitongoji cha Buguru Dar es alaam kulia ni muhandikishaji wa kituo hicho Karim Ibrahimu
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiweka alama za vidole wakati wa uhandikishwaji wa vitambulisho vya kupigia kura iliyokuwa ikifanyika katika kitongoji cha Buguru Dar es alaam kulia ni muhandikishaji wa kituo hicho Karim Ibrahimu


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchinini Rajabu Mhamila  Super D akitia saini kitambulisho chake kabla akijatoka kwa karani wa Karim Ibrahimu

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' askiangalia picha yake kabla akijatengenezwa kitambulisho kwa karani Karim Ibrahimu ilikuwa mpiga picha anapopigwa picha na mtu mwingine

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiweka akionesha kitambulisho chake
Rajabu Mhamila akiwa ametulia

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...