Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, December 24, 2015

MABONDIA WAPIMA UZITO KUZIPIGA KESHO UWANJA WA JAMUHURI MOROGORO


Bondia Vicent Mbilinyi akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Deo Njiku utakaofanyika katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro siku ya Desemba 25 Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mabondia Deo Njiku kushoto akitunishiana misuli na Vicent Mbilinyi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao kesho katika uwanja wa jamuhuri Morogoro kwa ajili ya sherehe za xmas Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com


Lulu Kayage akipima uzito

Mwanne Haji akipima uzito


Promota Kaike Siraju katikati akiwainia mikono juu mabondia Thomas Mashali kushoto na Fransic Cheka baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao siku ya desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mabondia Thomas Mashali na Fransic Cheka wakitambiana baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Desemba 25 utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS

BONDIA IBRAHIMU CLASS KING CLASS MAWE AKIPIMA UZITO

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...