Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, March 11, 2016

MABONDIA WAPIMA UZITO KUZIPIGA KESHO VIGAE CLASSC MBAGALA ZAKHEM


Mbondia Iddi Mnyeke kushoto akitunishiana misuli na Mohamed Kashinde baadas ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katika ukumbi wa Vigae Classc Mbagala Zakhem Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Joseph Sinkala wa mbeya kushoto na Ibrahim Maokola wakiwa wameshikilia mkanda wa ubingwa wa Taifa watakao ugombania kesho katika ukumbi wa Vigae Classic Mbagala Zakhem
Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Joseph Sinkala wa mbeya kushoto na Ibrahim Maokola wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya kugombania  mkanda wa ubingwa wa Taifa watakao ugombania kesho katika ukumbi wa Vigae Classic Mbagala Zakhem
Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Ibrahimu Maokola 'Simba wa Mbagala' akiojiwa na waandishi wa habari

Bondia Josephe Sinkala akiojiwa na waandishi wa habari
RAIS WA TPBC CHAULEMBO PALASA AKIONGEA NA WAHANDISHI WA HABARI
SIKLA VS MAOKOLA
Bondia Iddi  Mnyeke akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Mohamed Kashinde kulia mpambanmo utakaofanyika kesho katika ukumbi wa Vigae Classic Mbagala Zakhem
Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Mohamed Kashinde akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Iddi Mnyeke kulia mpambanmo utakaofanyika kesho katika ukumbi wa Vigae Classic Mbagala Zakhem
Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Pius Kazaula wa Morogoro kushoto akitunishiana misuli na Karage Suba bada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katika ukumbi wa Vigae Classic Mbagala Zakhem Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Pius Kazaula wa Morogoro kushoto akitunishiana misuli na Karage Suba bada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katika ukumbi wa Vigae Classic Mbagala Zakhem Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Pius Kazaula wa Morogoro kushoto akitunishiana misuli na Karage Suba bada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katika ukumbi wa Vigae Classic Mbagala Zakhem Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu

MABONDIA Ibrahimu Maokola wa Dar es salaam na Joseph Sinkala wa Mbeya wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa march 12  mpambano wa kugombania ubingwa wa taifa wa kg 72 utakaopigwa katika ukumbi wa Vigae Classc uliopo Mbagala Zakhem jijini 

Mpambano uho wa raundi kumi za ubingwa wa TPBC unaoshikiliwa na Maokola umeandaliwa kwa ajii ya kutetea mkanda wake akiongea mpambano uho 

akizungumza baada ya upimaji uzito Rais wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), Chaurembo Palasa amesema mpambano uho umeandaliwa kwa ajili ya kuendeleza mchezo wa masumbwi nchini 

mbali na mpambao uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine ya ngumi yatakayo wakutasnisha mabondia mbalimbali 

Bondia Iddi Mnyeke atakumbana na Mohamedi Kshinde na Karage Suba atavaana na Pius Kazaula wakati Selemani Galile ataoneshana umwamba na Ambokile Chusa

Katika mpambano uho kutakuwa na uhuzwaji wa vifaa vya mchezo wa ngumi pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi kwa ajili ya kutambua sheria mbalimbali za mchezo zitakazokuwa zikitolewa bule kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa galama nafuu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...