Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, May 11, 2016

TIGO YATOA MSAADA WA VYANDARUA KWA HOSPITALI YA UKEREWE


Mkurugenzi wa Kanda ya ziwa wa mtandao wa tigo Ali Maswanya(fulana ya blue), akimkabidhi Vyandarua 80 Kaimu Mganga Mkuu wa  Hospitali ya Wilaya ya Ukerewe Dk Kaniki Titus,kwenye hafla ya Makabidhiano iliyofanyika Mwanza juzi.

Mkurugenzi wa Mikakati(Director of Strategy)wa tigo Kobbina Awuah(wa tatu kushoto) akimkabidhi Vyandarua 80 Kaimu Mganga Mkuu wa  Hospitali ya Wilaya ya Ukerewe Dk Kaniki Titus,kwenye hafla ya Makabidhiano iliyofanyika Mwanza juzi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...