Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, August 10, 2016

KOCHA SUPER D AENDELEA KUWA NOWA MABONDIA IDD MKWELA KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE WA AGOST 21 TAIFA


Mabondia Iddi Mkwela kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D Coach Uhuru GYM Kariakoo Shule ya Uhuru Mkwela anajianaa na mpambano na Mwinyi Mzengela Agost 21 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

 Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Iddi Mkwela jinsu ya kupiga ngumi zenye mikunjo ya chini 'Upcat' Mkwela anajiandaa na mpambano wake ujaodhidi ya Mwinyi Mzengela Agost 21 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Iddi Mkwela jinsu ya kupiga ngumi zenye mikunjo ya chini 'Upcat' Mkwela anajiandaa na mpambano wake ujaodhidi ya Mwinyi Mzengela Agost 21 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
BONDIA Iddi Mkwela yupo katika maandalizi mazito ya mpambano wake wa Agost 21 utakaofanyika katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa dhidi ya Mwinyi Mzengela mpambano wa raundi sita kg 63
akizungumza wakati wa mazoezi yake anayo endelea katika kambi ya Super D Coach Uhuru GYM iliyopo Kariakoo Sule ya Uhuru
Mkwela amesema kuwa yupo fiti kwa ajili ya mpambano uho kwani kwasasa anajua mbinu mbalimbali alizofundishwa na kocha wake ambaye ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' na ndie anae nisimamia katika mapambano yangu kwa sasa ivyo natalajia kuonesha uwezo wa ali ya juu sana niwapo ulingoni kwani sitaki kumwangusha kocha wangu ambaye nafuata maelekezo yake kwa muda mrefu sasa
nae kocha Super D amesema kuwa mkwela yupo fiti sana kwani kwa sasa katika kambi yake mabondia wote wapo katika maandalizi ya mchezo wa masumbwi akiwemo bondia Vicent Mbilinyi anae jiandaa na mpambano wake dhidi ya George Owano   wa Kenya mpambano utakaofanyika Carnivore Grounds, Nairobi nchini Kenya September 17
katika mpambano wa mkwela wa Agost 21 kutakuwa na mipambano mingine ya mabondia mhachali nchini ambapo bondia Mfaume Mfaume atavaana na Jonas Segu mpambano wa raundi nane KG 66 
Katika Mchezo huo kutakua na Uuzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutambua sheria zake mbalimbali zitakazokua zikisambazwa na kocha  'Super D' kwa ajili ya kuwapa mabondia mbalimbali mbinu za mchezo na mashabiki kujua sheria za masumbwi.

Ndani yake wakiwemo mabondia Floyd Mywether, Manny Paquaio, Amiri Khani, Mohamedi Ali, Mike Tayson David Haye na wengine ambapo kutakuwa na matukio ya mazoezi yao katika mataifa yao ikumbukwe kuwa ni mabingwa wa dunia. na kutakuwa na mapambano makubwa matano ya utanguliz

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...