Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, August 29, 2016

MSONDO NGOMA WALIVYO TUMBUIZA DDC KARIAKOO MWISHONI MWA WIKI ILIYOPITA

 Wasanii wa bend ya msondo ngoma wakiwajibika wakati wa onesho lao lililofanyika Kariakoo mwishoni mwa wiki iliyopita kutoka kushoto ni Abdul Ridhiwani na Romani Mn'gande Picha na BURUDAN BLOG
 Waimbaji wa Msondo ngoma Music Band wakiwajibika wakati wa onesho lao la mwishoni mwa wiki iliyopita lililofanyika Kariakoo kutoka kushoto na Hassan Moshi Hamisi Kambi na Juma Katundu Picha na BURUDAN BLOG
 Wasanii wa bendi ya Msondo ngoma music Bandi wakitumbuiza kushoto ni mpiga tumba Amri Said na Ibrahimu Kandaya onesho lililofanyika DDC Kariakoo Dar es salaam mwishoni mwa wiki Picha na BURUDAN BLOG
 Waimbaji wa bend ya Msondo Music wakitumbuiza wakati wa onesho ao lililofanyika mwishoni mwa wiki kutoka kushoto ni Athumani Kambi Shabani Dede na Hassani Moshi Picha na BURUDAN BLOG
 WADAU WA MSONDO NGOMA WAKIWA KATIKA ONESHO HILO
WATANGAZAJI WA RADIO WAKIWA KATIKA TAMASHA HILI LA BENDI YA MSONDO NGOMA KUSHOTO NI MTANGAZAJI WA RADIO ONE NA KULIA NI MTANGAZAJI WA RADIO UHURU

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...